Vumilia Lyrics – Rayvanny

Teri Hazri Lyrics

Niwe kibatarim ama mwanga wa mshumaa
Kwenye kigiza cha jioni
Pika dona ngangarii
Tulishushie na dagaa
Ukishatoka sokoni
Kisha tufunge safari
Itayo chukuwa masaa
Utokwe jasho mgongoni
Na vile nina machachari
Nikikushika kibaa
Utamu wa dicki nondoni

Kuna muda nawaza, hivi nitakupa nini
Sina mbele sina nyuma masikini
Chakula shida nadona la chini niambiee
Wenye mapesa vogi na ma lamborghini
Wasije fanya ukanipiga chini
Bado nawaza hivi nitakupa nini utuliee
Sambusa kachorii pamia aaee
Tukipata pesa ni sangala
Mchicha mtori pamia aaee
Kama tukikosa tunalala
Kwa hiyo mama usijali Vumilia iyeeee
Vuumilia iye iye
Vumilia
Kesho tutapata mapenzi
Vumilia

Vuumilia

Vumilia

Vumilia

Kesho tutapata mapenzi

Najuwa unatamani mama high waist

Make up weaving za dubai na china

Ule pamba nyepesi setaaar

Chain ya dhahabu yenye jinnaa

Oooooh, basi mama vumilia

Nakupigania mpenzzzzi subiria

Oooooh, acha kujiinamia

punguza kulia tatusaidi

Ati mapenzi si moyo

Mapenzi ni pesa

Kama kweli masikini yatatutesa

Uchoyo usinipe pressure

Naomba unipendee

Kuna muda nawaza, hivi nitakupa nini

Sina mbele sina nyuma masikini

Chakula shida nadona la chini niambiee

Wenye mapesa vogi na ma lamborghini

Wasije fanya ukanipiga chini

Bado nawaza hivi nitakupa nini utuliee

Sambusa kachorii pamia aaee

Tukipata pesa ni sangala

Mchicha mtori pamia aaee
Kama tukikosa tunalala
Kwa hiyo mama usijali Vumilia iyeeee
Vuumilia iye iye
Vumilia
Kesho tutapata mapenzi
Vumilia
Vuumilia
Vumilia
Vumilia
Kesho tutapata mapenzi

If you find any mistake in the lyrics, please send correct lyrics in comments /Contact Us

Song Credits
Song: Vumilia
Singer: Rayvanny

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *